online bookstore delivery

Swift Delivery

Your convenience, our priority

Holiday Value Packs

Holiday Value Packs

7 Storybooks for 7 weeks

safe shopping with storymoja

Safe Shopping

Pay with Mpesa, Visa..

excellent customer service

Customer Service

We are happy to serve you

Tumaini la Nimara

Tumaini la Nimara

Hadithi zinazofundisha stadi za maisha Hii ni hadithi kwa watoto wenye umri wa miaka 11 -14 (Kiwango cha 6-8).
Ni kitabu kinachowasaidia watoto kujifunza na kukuza kujiamini na ujasiri.

Yusufu Miremba ni mwanafunzi mwenye umri wa miaka kumi na miwili nchini Uganda. Mpango wa wanafunzi kuandikiana barua unaanzishwa baina ya shule yao na nyingine nchini Sri Lanka. Kupitia kwa mpango huo, Yusufu anapiga urafiki na Nimara de Silva kwa njia ya kuandikiana barua. Genge la wanamgambo linamteka nyara Yusufu na kutokomea naye mwituni. Nimara anaanzisha kampeni ya kumwandikia barua kiongozi wa genge hilo pamoja na wengine wenye ushawishi mkubwa ulimwenguni akiomba Yusufu aachiliwe huru. Haya yote yakiendelea, Yusufu anakula mwata mwituni. Je, kampeni za Nimara zitafua dafu? Je, Yusufu ataachiliwa huru? Watawahi kuonana ana kwa ana?

Author:
Simon John Harris

Parents are also buying

Get Our Newsletter

Sign up to our newsletter to be the first to receive news and special offers.