online bookstore delivery

Swift Delivery

Your convenience, our priority

Holiday Value Packs

Holiday Value Packs

7 Storybooks for 7 weeks

safe shopping with storymoja

Safe Shopping

Pay with Mpesa, Visa..

excellent customer service

Customer Service

We are happy to serve you

Barua ya Mwisho na Hadithi Nyingine

Barua ya Mwisho na Hadithi Nyingine

Barua ya Mwisho na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zilizoandikwa na waandishi wenye uzoefu mpana wa kuandika kazi za fasihi. Hadithi zilizomo zinaangazia masuala yanayochora taswira kamili ya tajriba ya mwanadamu wa kisasa katika mazingira anuwai. 

Matukio yamesukwa kwa njia inayoakisi uhalisia wa maisha ya kila siku ya wanajamii na kuchangia kukemea maovu na kukuza matendo ya kiuadilifu katika jamii kupitia maudhui tofauti tofauti kama vile elimu, siasa, teknologia na madhara yake, ufisadi, ulanguzi wa dawa za kulevya, matatizo ya kiuchumi, mimba na ndoa za mapema, miongoni mwa mengine.

Kunao pia uanuwai na ufaafu wa matumizi ya vipengele mbalimbali vya fani kama vile muundo, mtindo, lugha na wahusika katika mkusanyiko huu. Huu ni mchango mkubwa katika fasihi ya Kiswahili kwenye Karne ya Ishirini na Moja.

Author:
Hamisi Babusa,Clara Momanyi, Kenna Wasike, Jacob masika, Dominic oigo, Rachel Maina, Evalyne Vaati, Titus Kaui, Geoffrey Mang'ou, Beth Mutugu, Edwin Omindo, Jessica Kathambi,

Parents are also buying

KSh 600.00
KSh 1,200.00
KSh 600.00

Get Our Newsletter

Sign up to our newsletter to be the first to receive news and special offers.